JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI
TAARIFA YA MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) ILIYOFANYIKA OKTOBA 2012
1.0 UTANGULIZI
MtihaniwaKidatochaNne, 2012ulifanyikanchinikotekuanziatarehe8/10-25/10/2012. Baraza la Mitihani la Tanzaniakatikakikaochakecha 94 kilichofanyikatarehe 30 Mei, 2013 liliidhinishamatokeo haya
2.0 USAJILI NA MAHUDHURIO
Jumlayavituo5,058vilitumikakatikakufanyamtihanihuoikilinganishwa na vituo4,795vilivyotumikamwaka 2011.
2.1 TaarifazaWatahiniwa
Jumlayawatahiniwa480,029 walisajiliwakufanyaMtihaniwaKidatochaNne 2012 wakiwemowasichana217,587sawa na asilimia45.33 na wavulana262,442sawa na asilimia54.67.WatahiniwawaliofanyamtihaniwaKidatochaNne 2012 ni 458,139sawa na asilimia95.44.Watahiniwa21,890 sawa na asilimia4.56yawatahiniwawotewaliosajiliwa, hawakufanyamtihani.
2.2 WatahiniwawaShule
Watahiniwawashulewaliosajiliwa ni 411,225 wakiwemowasichana182,982sawa na asilimia44.50 na wavulana228,243sawa na asilimia55.50.Watahiniwawashulewaliofanyamtihaniwalikuwa397,138sawa na asilimia96.57. Aidha, watahiniwa14,087sawa na asilimia3.43 hawakufanyamtihanikutokana na sababumbalimbalizikiwemoutoro, ugonjwa na vifo.
2.3 WatahiniwawaKujitegemea
Watahiniwawakujitegemeawaliosajiliwawalikuwa ni 68,804wakiwemowasichana34,605 sawa na asilimia50.30 na wavulana34,199sawa na asilimia49.70.Watahiniwa61,001wakiwemowasichana 30,918 nawavulana 30,083 wamefanyamtihaniwakatiwatahiniwa7,803sawa na asilimia 11.34 hawakufanyamtihani.
3.0 MATOKEO YA MTIHANI
3.1 Maandaliziyamatokeo
MatokeoyaMtihaniwaKidatochaNnemwaka 2012 yalitangazwatarehe 18 Februari 2013 na kufutwaMachi 2013 kutokana na sababuzakitaalamukatikamatumiziyataratibuzakuchakatamatokeo. MatokeoyaliyofutwayalikuwayamechakatwakwakutumiautaratibuwaFixed Grade Ranges. MatokeoyanayotangazwasasayamechakatwakwautaratibuhuohuolakiniyamefanyiwaStandalization.
Kimataifakunaainakuumbilizakuchakatamatokeoyamtihani : Flexible ‘Grade Ranges na Fixed Grade Ranges’.
‘Flexible Grade Ranges’ hutumiaviwangotofautikuchakatamatokeoyawatahiniwakwakuzingatiakiwangochaufauluchasomohusikakwakilamwaka. Hivyoviwangovyakuchakatamatokeohubadilikakilamwakakulingana na ufauluwawatahiniwakwakilasomohusika.
Katikamfumowa ‘Fixed Grade Ranges’ viwangovyaainamojahutumikakuchakatamatokeokwamasomoyote bila kujalikiwangochakufaulukwasomohusika. Viwangovyakuchakatamatokeohutumikahivyohivyokilamwaka bila mabadiliko.
KwamiakamingiBaraza la Mitihani la Tanzanialimekuwalikitumiamfumowa ‘Flexible Grade Ranges’. Mwaka 2012, mfumowa ‘Fixed Grade Ranges’ ulitumikakuchakatamatokeokwamaraya kwanza
Mabadilikohayoyalitokana na maoniyawadauyaliyotokana na utafitiuliofanywa na Wizaramwaka 2010 kufuatiakushukakwaufauluwamtihaniwaKidatochaNnemwakahuo. Pia kwakuzingatiamaelekezoyaTumemaalumiliyochunguzadosarizilizojitokezakwenyematokeoyamtihaniwaKidatocha Sita mwaka 2012 katikasomo la IslamicKnowledge.
3.2 MatokeoyaWatahiniwawaShule
Jumlayawatahiniwawashule159,609katiyawatahiniwa397,138
waliofanyaMtihaniwaKidato cha Nne 2012 wamefaulu. Wasichanawalikuwani60,751nawavulanawalikuwani98,858.
3.3 MatokeoyaWatahiniwawaKujitegemea
Idadiyawatahiniwawakujitegemeawaliofaulumtihanini26,191katiyawatahiniwa61,001 waliofanyamtihani.Wasichanawaliofauluni11,581nawavulanani14,910.
4.0 UBORA WA UFAULU KWA MADARAJA NA JINSI
Uborawaufaulukwakuangaliamadarajawaliyopatawatahiniwawashuleunaoneshakuwajumlayawatahiniwa35,349wamefaulukatikamadaraja I – IIIambapokatiyaowasichanani10,924 nawavulanani24,425.
MchanganuowaufaulukwakiladarajakwajinsikwaWatahiniwawaShulemwaka 2012 nikamaifuatavyo:
Wavulana
|
Wasichana
|
Jumla
| ||||
Idadi
|
Asilimia
|
Idadi
|
Asilimia
|
Idadi
|
Asilimia
| |
I
|
2,179
|
1.07
|
1,063
|
0.64
|
3,242
|
0.88
|
II
|
7,267
|
3.58
|
3,088
|
1.85
|
10,355
|
2.8
|
III
|
14,979
|
7.37
|
6,773
|
4.05
|
21,752
|
5.87
|
I-III
|
24,425
|
12.02
|
10,924
|
6.54
|
35,349
|
9.55
|
IV
|
74,433
|
36.65
|
49,827
|
29.78
|
124,260
|
33.54
|
I-IV
|
98,968
|
48.66
|
60,779
|
36.30
|
159,747
|
43.08
|
0
|
104,259
|
51.33
|
106,587
|
53.7
|
210,846
|
56.92
|
5.0 SHULE KUMI BORA NA SHULE KUMI ZA MWISHO
Uborawashuleumepangwakwakutumiakigezo cha “Grade Point Average” (GPA) kuanzia A = 1 na F = 5. Shulezimegawanywakatikamakundimawilikulingananaidadiyawatahiniwakamaifuatavyo:
(i) Shulezenyewatahiniwa40 na zaidi (Jumlani 3,396)
(ii) Shulezenyewatahiniwapungufuya 40 (Jumlani 753).
5.1 Shule Kumi bora katikakundi la shulezenyewatahiniwa 40 na zaidi
Shulezifuatazozimepangwakwakuanzanaya kwanza hadiyakumikatikakundi la shulezenyewatahiniwa40nazaidi.
NAFASI
|
JINA LA SHULE
|
IDADI
|
MKOA
|
RANK
|
CENTRE NAME
|
REGISTERED
|
REGION
|
1
|
ST. FRANCIS GIRLS S S
|
90
|
MBEYA
|
2
|
MARIAN BOYS' S S
|
75
|
PWANI
|
3
|
FEZA BOYS' S S
|
69
|
DAR ES SALAAM
|
4
|
MARIAN GIRLS S S
|
88
|
PWANI
|
5
|
CANOSSA S S
|
66
|
DAR ES SALAAM
|
6
|
FEZA GIRLS' S S
|
50
|
DAR ES SALAAM
|
7
|
ROSMINI S S
|
78
|
TANGA
|
8
|
ANWARITE GIRLS S S
|
49
|
KILIMANJARO
|
9
|
ST. MARY'S MAZINDE JUU S S
|
83
|
TANGA
|
10
|
JUDE MOSHONO SS
|
51
|
ARUSHA
|
5.2 ShuleKumizamwishozenyewatahiniwa 40 nazaidi
Shulezifuatazozimepangwakwakuanzanaya kwanza hadiyakumikutokamwisho.
NAFASI
|
JINA LA SHULE
|
IDADI
|
MKOA
|
1
|
MIBUYUNI S S
|
40
|
LINDI
|
2
|
MAMNDIMKONGO S S
|
63
|
PWANI
|
3
|
CHITEKETE S S
|
57
|
MTWARA
|
4
|
KIKALE S S
|
60
|
PWANI
|
5
|
ZIRAI S S
|
41
|
TANGA
|
6
|
MATANDA SECONDARY SCHOOL
|
53
|
LINDI
|
7
|
KWAMNDOLWA S S
|
89
|
TANGA
|
8
|
CHUNO S. S
|
143
|
MTWARA
|
9
|
MBEMBALEO S S
|
56
|
MTWARA
|
10
|
MAENDELEO S S
|
103
|
DAR ES SALAAM
|
5.3 ShuleKumi bora katikakundi la shulezenyewatahiniwachiniya 40
Shulezifuatazozimepangwakwakuanzanaya kwanza hadiyakumikatikakundi la shulezenyewatahiniwa 40 nazaidi.
NAFASI
|
JINA LA SHULE
|
IDADI
|
MKOA
|
1
|
THOMAS MORE MACHRINA SS S
|
20
|
DAR ES SALAAM
|
2
|
QUEEN OF APOSTLES-USHIROMBO SEMINARY
|
24
|
SHINYANGA
|
3
|
BETHELSABS GIRLS S S
|
33
|
IRINGA
|
4
|
PRECIOUS BLOOD S S
|
34
|
ARUSHA
|
5
|
MAUA SEMINARY
|
31
|
KILIMANJARO
|
6
|
ST. MARY'S JUNIOR SEMINARY
|
28
|
PWANI
|
7
|
CARMEL S S
|
36
|
MOROGORO
|
8
|
SANU SEMINARY
|
37
|
MANYARA
|
9
|
BROOKEBOND S S
|
27
|
IRINGA
|
10
|
ST.CAROLUS SECONDARY S S
|
37
|
SINGIDA
|
5.4 Shulekumi (10) zamwishozenyewatahiniwachiniya 40
Shulezifuatazozimepangwakwakuanzanaya kwanza hadiyakumikutokamwisho.
NAFASI
|
JINA LA SHULE
|
IDADI
|
MKOA
|
1
|
DODEANI TECH. S S
|
10
|
PEMBA
|
2
|
KALAMBA S S
|
11
|
DODOMA
|
3
|
HURUI S S
|
12
|
DODOMA
|
4
|
USUNGA S S
|
13
|
TABORA
|
5
|
MANDWANGA S S
|
13
|
LINDI
|
6
|
BETTY MITCHEL S S
|
17
|
MOROGORO
|
7
|
CHONGOLEANI S S
|
17
|
TANGA
|
8
|
MMULUNGA S S
|
17
|
MTWARA
|
9
|
NYUAT S S
|
20
|
ARUSHA
|
10
|
MWAKIJEMBE S S
|
13
|
TANGA
|
6.0. HITIMISHO
KuanziasasamatokeoyamithaniyakidatochaNne na Sita yatachakatwakwakutumiaFixed Grade Range na Standardisation. Natoawitokwawadauwotewaelimukutoaushirikianotuwezekuboreshaelimunchini.
No comments:
Post a Comment