Friday, May 31, 2013

serikali ya tanzania yakwamisha matibabu ya shekh ilunga.india.

kibali chakutibiwa Sheikh IlungaHassan Kapungu ambayeamelazwa katika
hospitaliya Columbia Asia Hospital-Bangalore, India.
Kibali kinachohitajikani kwa ajili ya kufanyiwaupasuaji wa kuwekewa figo(kidney transplantation) baada ya Sheikh Ilunga kupatamatatizo ya figo kushindwakufanya kazi ambayokitaalamu hutwa- ‘chronicrenal failure’.Taarifa kutoka kwa nduguna jamaa zinafahamisha kuwaSheikh Ilunga alilazwa katikahospitali ya Columbia AsiaHospital- Bangalore, tokamwezi wa Februari mwakahuu 2013.Hata hivyo pamoja nataratibu zote za kupata nyarakana vibali vyote husika ikiwa ni pamoja na kile cha Serikali yaTanzania,
yaani, No ObjectionCertificate (NOC ), badoSerikali ya India haijatoa Visaya Matibabu ambayo ndiyoitawezesha hospitali kufanyamatibabu ya kuweka figo.Habari za kiutafitizinaonyesha kuwa Ubaloziwa Tanzania (Tanzania HighCommission) uliopo NewDelhi, umesaidia sana katika jambo hili ikiwa ni pamojana kutoa kwa haraka na kwawakati ruhusa iliyohitajiwa naSerikali ya India.Pamoja na kuwa hospitalihusika imekuwa ikitoahuduma nyingine za afyakwa Sheikh Ilunga kwakiwango cha hali ya juu tokaamefika hospitalini hapo, hatahivyo, kutokana na sheria zakimataifa juu ya upandikizajiwa viungo, kama hili la figo,hairuhusiwi kufanya matibabuhayo bila ya kibali maalumu.Hiyo ni kutokana nakuwepo kwa biashara haramuya viungo duniani na hivyokuwekwa sheria kali ilikudhibiti biashara hiyo.Habari kutoka hospitaliniBangalore zinafahamishakuwa tayari taratibu zoteza kitabibu na malipozishakamilika ikiwa ni pamojana kuwepo mtu wa kutoafigo, ambaye ni dada yakeSheikh Ilunga ambapo vipimovya kitaalamu vinaonyeshakuwa viungo vyao vinawiana,havina tatizo.Habari za kiuchunguzi zagazeti hili zinaonesha kuwakutokana na hitajio la SheikhIlunga kupatiwa matibabuya haraka kulingana na afyayake inavyobadilika kilauchao, uongozi wa hospitali(Columbia Asia Hospital-Bangalore) ulimweka Ilungakatika orodha ya wagonjwawa kupewa kipaumbele katikamatibabu husika toka katikatiya mwezi uliopita wa Aprili.
Kutokana na hali hiyo,madaktari wake wanaomtibiakatika hospitali hiyo waliandikataarifa maalum ikielezea haliya ugonjwa wake na hitajio lakufanyiwa matibabu harakawakitaraji kuwa vyombohusika vitaharakisha kutoakibali husika. Naye mkuu wa jopo lamadaktari wake Dr. RavindranT. Jumapili iliyopita tarehe 20Mei, 2013 alitoa taarifa yakitabibu akionyesha umuhimuwa mgonjwa Ilunga HassanKapungu kupatiwa matibabu(Renal replacement therapy)haraka.

No comments:

Post a Comment